Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Katika Toleo Hili

Katika Toleo Hili

Katika Toleo Hili

● Ni mambo gani saba ambayo yanaweza kusaidia ndoa yako ifanikiwe? Ona ukurasa wa 3-9.

● Ni katika njia gani vijana wanaweza kuwafahamu wazazi wao vizuri zaidi? Ona ukurasa wa 10-13.

● Je, ni sawa kuishi pamoja kabla ya kuoana? Ona ukurasa wa 28-29.

● Unaweza kufanikiwaje ukiwa mzazi mmoja? Ona ukurasa wa 26-27.

● Watoto wanaweza kusaidiwaje kukabiliana na talaka ya wazazi wao? Ona ukurasa wa 18-21.

Haya ni baadhi tu ya maswali kuhusu familia yanayoshughulikiwa katika toleo hili la pekee la “Amkeni!”

Je, ungependa kupata habari zaidi? Jaza sehemu iliyoonyeshwa hapa chini na kuituma ukitumia anwani iliyoonyeshwa au anwani ifaayo kati ya zile zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5 wa gazeti hili.

□ Bila masharti, ningependa kupokea kitabu kilichoonyeshwa hapa chini.

□ Ningependa kujifunza Biblia nyumbani kwangu bila malipo.