Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Ungejibuje?

Kuna Kasoro Gani Katika Picha Hii?

Soma Matendo 8:26-40. Kisha utazame picha. Kuna kasoro gani? Andika majibu yako kwenye mistari iliyo hapa chini.

1. ․․․․․

2. ․․․․․

3. ․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Kwa nini towashi hakuelewa alichokuwa akisoma? Alisaidiwaje kuelewa? Unaweza kumwiga towashi huyo katika njia gani?

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Katika Toleo Hili

Jibu maswali haya, na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 8 Unapaswa ‘kujinunulia’ nini? Waefeso 5:________

UKURASA WA 9 Tunapaswa kujilinda na nini? Luka 12:________

UKURASA WA 10 Unapaswa kufanya nini ikiwa adui yako ana njaa? Waroma 12:________

UKURASA WA 20 Tunapaswa kufikiria nini kuhusu sura yetu? 1 Petro 3:________

Unajua Nini Kuhusu Mwamuzi Yeftha?

Soma Waamuzi 11:1–12:7. Sasa jibu maswali yafuatayo.

4. ․․․․․

Alikuwa wa kabila gani la Israeli?

DOKEZO: Ona Hesabu 26:29.

5. ․․․․․

Alikomboa Israeli dhidi ya taifa gani?

6. ․․․․․

Kweli au si kweli? Aliishi baada ya Yosefu, mwana wa Yakobo (Israeli).

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Unafikiri ni kwa nini binti ya Yeftha alikubali kutimiza nadhiri ya baba yake? Unaweza kumwigaje binti ya Yeftha?

▪ Majibu kwenye ukurasa wa 28

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Huenda Filipo alikuwa peke yake.

2. Towashi alikuwa amepanda gari si farasi.

3. Tukio hilo lilitokea jangwani si katika mji uliojaa watu.

4. Manase.—Hesabu 26:29; Waamuzi 11:1.

5. Amoni.—Waamuzi 11:4.

6. Kweli.