Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mazungumzo ya Familia

Mazungumzo ya Familia

Mazungumzo ya Familia

TUNAWEZA KUJIFUNZA NINI KUTOKANA NA . . . Adamu na Hawa?

JE, UMEWAHI KUSHAWISHIKA KUCHUKUA KITU AMBACHO SI CHAKO?

• Paka rangi picha hizi. • Soma mistari ya Biblia iliyoonyeshwa, na uieleze unapojaza maneno ambayo yamekosekana. • Tafuta vitu vilivyofichika—(1) kasa na (2) chura.

MWANZO 2:16

MWANZO 2:17

MWANZO 3:4 ․․․․․

MWANZO 3:6

BAADAYE, MUNGU ALIULIZA IKIWA WALIKULA MATUNDA YA ULE MTI.—MWANZO 3:11

MWANZO 3:12 ․․․․․

MWANZO 3:13 ․․․․․

KWA SABABU ADAMU NA HAWA WALIMWIBIA, MUNGU ALIWAFUKUZA KUTOKA KATIKA BUSTANI NA WAKAANZA KUFA.—MWANZO 3:14-24

Kwa nini Adamu na Hawa walipaswa kumheshimu Mungu kwa kumtii?

DOKEZO: Ufunuo 4:11.

Ni nini kilichowapata kwa sababu ya kuiba?

DOKEZO: Waroma 5:12.

Unajifunza nini kutokana na simulizi hili?

Una maoni gani?

Ni nani aliyefanya nyoka aongee?

DOKEZO: Ufunuo 12:9.

Kusanya na Ujifunze

Kata, kunja katikati, na uhifadhi

KADI YA BIBLIA 18 YOSIA

MASWALI

A. Yosia alikuwa mfalme alipokuwa na umri wa miaka ․․․․․ na akatawala kwa miaka ․․․․․.

B. Ni manabii gani wawili waliokuwa na uvutano mzuri kwa Yosia?

C. Kuhani alipata nini katika hekalu wakati Yosia alipoagiza wafanyakazi wairekebishe “nyumba ya Yehova”?

[Chati]

4026 K.W.K. Adamu aumbwa

Aliishi katika miaka ya 650 K.W.K.

1 W.K.

98 W.K. Kitabu cha mwisho cha Biblia kinaandikwa

[Ramani]

Alibomoa sanamu za kuchongwa katika majiji ya makabila haya.—2 Mambo ya Nyakati 34:6, 7.

Naftali

Manase

Efraimu

Simeoni

YOSIA

MAMBO MACHACHE KUMHUSU

Ingawa baba yake, Amoni, alikuwa mbaya, Yosia ‘alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.’ (2 Mambo ya Nyakati 34:2) Alichagua kuwasikiliza wale waliompenda Mungu badala ya wale waliokuwa mashirika mabaya. Unyenyekevu wake na uthamini wake kwa ibada ya kweli ulimfanya apate kibali cha Mungu.—2 Wafalme 22:19; 23:24, 25.

MAJIBU

A. 8, 31.—2 Mambo ya Nyakati 34:1.

B. Yeremia na Sefania. —Yeremia 1:1, 2; Sefania 1:1.

C. “Kile kitabu cha sheria ya Yehova,” kilichoandikwa na Musa.—2 Mambo ya Nyakati 34:14-18.

Watu na Nchi

3. Majina yetu ni Sash na Rosette, nina umri wa miaka 9 na Rosette ana umri wa miaka 8. Tunaishi Rwanda. Kuna Mashahidi wangapi wa Yehova nchini Rwanda? Ni 19,000, 47,500, au 77,500?

4. Ni alama gani inayoonyesha eneo tunaloishi? Chora duara kuzunguka alama hiyo, chora alama nyingine kuonyesha eneo unaloishi kisha uone kwenu ni umbali gani kutoka Rwanda.

A

B

C

D

Watoto Watafute Picha

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

Ili uchapishe nakala zaidi za “Mazungumzo ya Familia,” nenda kwenye www.mr1310.com

● Majibu ya “MAZUNGUMZO YA FAMILIA” kwenye ukurasa wa 10

MAJIBU YA UKURASA WA 30 NA 31

1. Kasa katika picha ya 6.

2. Chura katika picha ya 1.

3. 19,000.

4. B.