MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Aprili 2017

Toleo hili lina makala za funzo za Mei 29 hadi Julai 2, 2017.

“Kile Unachoweka Nadhiri, Timiza”

Nadhiri ni nini? Maandiko yanasema nini kuhusu kuweka nadhiri kwa Mungu?

Ni Nini Kitakachoondolewa Ufalme wa Mungu Utakapokuja?

Biblia inasema kwamba “ulimwengu unapitilia mbali.” Hata hivyo, “ulimwengu” huo unahusisha nini?

SIMULIZI LA MAISHA

Nimeazimia Kuwa Askari-Jeshi wa Kristo

Demetrius Psarras alifungwa gerezani kwa kukataa kujiunga na jeshi. Hata hivyo, aliendelea kumsifu Mungu hata alipokabili majaribu makali yaliyofuata.

“Mwamuzi wa Dunia Yote” Hufanya Yaliyo Sawa Sikuzote

Kwa nini tunaweza kusema kwamba Mungu hawezi kutenda isivyo haki? Kwa nini jambo hilo ni muhimu kwa Wakristo leo?

Je, Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Haki?

Sifa ya unyenyekevu na utayari wa kusamehe ni muhimu ikiwa tungependa kuwa na maoni ya Yehova kuhusu haki. Kwa nini?

Roho Yako ya Kujitolea na Imletee Yehova Sifa

Mungu Mweza Yote huthamini jitihada ambazo watumishi wake hufanya ili kuchangia katika kutimizwa kwa kusudi lake, haidhuru ni jitihada ndogo kadiri gani.