MNARA WA MLINZI Septemba 2012

HABARI KUU

Je, Kweli Mungu Anawajali Wanawake?

Unafikiri Biblia huwadunisha wanawake? Pata kujua jinsi Mungu anavyowaona wanawake.

SIMULIZI LA MAISHA

Sasa Ninamjua Mungu Mungu Ninayemwabudu

Pata kujua jinsi pasta wa kanisa la Pentekoste alivyopata kweli aliyokuwa akiitafuta kwa muda mrefu—kweli ya Biblia.

JIFUNZE KUTOKA KATIKA NENO LA MUNGU

Ni Nini Kitakachotokea Katika Siku ya Hukumu?

Kuna itikadi mbalimbali kuhusu Siku ya Hukumu. Je, tunapaswa kuiogopa? Itatimiza nini?

Fadhili—Sifa Muhimu Machoni pa Mungu

Je, unapaswa kuhangaikia kuwaonyesha watu wote fadhili? Mungu anaionaje sifa hiyo?

MKARIBIE MUNGU

“Mataifa Yatalazimika Kujua Kwamba Mimi Ni Yehova”

Watu wengi humlaumu Mungu kwa sababu ya dhuluma na kuteseka ulimwenguni. Mungu atajiondolea lawama jinsi gani?

Je, Wajua?

Barua zilitumwaje katika nyakati za Biblia? Vitu vilinunuliwa na kuuzwa jinsi gani katika Israeli la kale?

WASOMAJI WETU WANAULIZA

Je, Mashahidi wa Yehova Wanawaruhusu Wanawake Kufundisha?

Ikiwa ndivyo, wanafuata mfano gani wa kimaandiko? Wanafanya huduma gani?

Jina la Mungu Lajulishwa Katika Kiswahili

Pata kujua jinsi jina la Mungu, Yehova, lilivyoingia katika Biblia ya Kiswahili.

WAFUNDISHE WATOTO WAKO

Pupa Ilimfanya Gehazi Apoteze Kibali cha Mungu

Gehazi alichukua vitu visivyo vyake. Tunaweza kujifunza nini kutokana kisa hicho?