Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

AMUKA! Na. 5 2017 | Wakati Musiba Unatokea​—Hatua Zenye Zinaweza Kuokoa Uzima

Sababu gani ni jambo la maana kujitayarisha kwa ajili ya misiba?

Biblia inasema hivi: ‘Mutu mwerevu ambaye ameuona musiba amejificha; wasio na uzoefu ambao wamepita wamepatwa na mabaya.’​—Methali 27:12.

Gazeti hili linaonyesha mambo tunaweza kufanya mbele ya musiba, wakati wa musiba, na kisha musiba.

 

HABARI KUBWA

Wakati Musiba Unatokea​—Hatua Zenye Zinaweza Kuokoa Uzima

Mashauri haya yanaweza kuokoa uzima wako na uzima wa watu wengine.

Namna Tunaweza Kuepuka Kutumia Vitu Ovyoovyo

Fikiria mambo ambamo unaweza kutumia umeme na mafuta kwa hekima​—nyumbani, usafirishaji, na mambo ya kila siku.

MAWAZO YA BIBLIA

Vita

Zamani, Waisraeli walipigana vita katika jina la Mungu. Hilo linamaanisha kwamba Mungu anakubali vita ya siku zetu?

MUSAADA KWA FAMILIA

Ni Muzuri Kujitia Katika Hatari ili Kutafuta Musisimuko?

Vijana wengi wanapata musisimuko kwa kujaribu kupima uwezo wao​—wakati fulani katika njia zenye kuwa hatari sana. Unashawishiwa pia kufanya hivyo?

INCHI NA WATU

Kutembelea Inchi ya Kazakhstan

Zamani, Wakazakh waliishi maisha ya kuhama-hama na waliishi katika yurt. Namna gani maisha ya leo ya watu hao yanaonyesha desturi za wazazi wao wa zamani?

KITU HIKI KILIJIFANYA CHENYEWE?

Umbo la Makombe

Umbo na muundo wa makombe vinasaidia kulinda moluska wenye kuishi ndani yayo.

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawapiganake vita?

Watu wengi wanajua kama Mashahidi wa Yehova hawapiganake vita. Ona sababu zenye zinafanya tukatale kupigana vita.