MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 4, 2013

HABARI KUBWA

Je, Inawezekana Kabisa Kuwa na Maisha Yenye Maana?

Tunahitaji kujua ikiwa inawezekana kabisa kuwa na maisha yenye maana, zaidi sana tunapopambana na shida ao taabu.

HABARI KUBWA

Yesu, Mufano Muzuri wa Maisha Yenye Maana

“Chunguza hali ine za maisha ya Yesu ambazo zilifanya maisha yake yawe yenye maana kwelikweli.”

HABARI KUBWA

Yesu Anaonyesha Namna ya Kuwa na Maisha Yenye Maana

Mifano fulani inahakikisha kwamba kutumikisha maneno ya Yesu yaliyo katika Mahubiri ya Mulimani kunaweza kutusaidia kuwa na maisha yenye maana.

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

Biblia Inabadilisha Maisha ya Watu

Ijapokuwa alikuwa na matokeo mazuri katika mambo ya muziki, Esa alijua kwamba maisha yake hayakuwa na maana. Vumbua namna gani mwanamuziki huyo wa muziki wenye mudundo mukali alipata furaha ya kweli.

Je, Ulijua?

Sababu gani muji wa zamani wa Ninawi uliitwa ‘muji wa umwangaji wa damu’? Sababu gani Wayahudi walipaswa kujenga ukuta kando-kando ya dari la nyumba zao?

MUKARIBIE MUNGU

‘Endeleeni Kuomba, Nanyi Mutapewa’

Chunguza mifano miwili ya Yesu inayopatikana katika Luka sura ya 11 inayoeleza namna unaweza kuwa hakika kwamba Mungu anasikiliza sala zako.

TUIGE IMANI YAO

“Alitembea Pamoja na Mungu wa Kweli”

Tunaweza kujifunza nini kutokana na Noa, bibi yake, na familia yao?

Maulizo juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Yehova Mungu anataka ujue kweli juu yake. Atakusaidia kuelewa Maandiko.

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Funzo la Biblia Ni Nini?

Pata majibu ya maulizo juu ya programu yetu ya funzo la Biblia la bila malipo.