MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 11, 2015 | Mungu Anaona Vita Namna Gani?

Jibu la Biblia linaweza kukushangaza.

HABARI KUBWA

Mungu Anaona Vita Namna Gani?

Zamani sana, Mungu aliambia watu wake wapigane vita. Kisha, Yesu alifundisha watu wapende maadui wao. Ni nini kilibadilika?

HABARI KUBWA

Namna Mungu Aliona Vita Wakati wa Zamani

Mambo tatu ya maana yenye yalifanya vita zenye Mungu aliruhusu zipiganwe zikuwe tofauti na vita zingine.

HABARI KUBWA

Namna Mungu Aliona Vita Wakati wa Mitume

Hata kama mawazo ya Mungu hayajabadilika, tukio fulani la maana lilihakikisha kama jambo fulani lilikuwa limebadilika.

HABARI KUBWA

Namna Mungu Anaona Vita Leo

Hivi karibuni Mungu ataleta vita yenye itamaliza vita zote.

Ulijua?

Sababu gani Yosefu alikata ndevu mbele ya kuenda kuonana na Farao? Wakati Biblia inasema kama baba ya Timotheo alikuwa “Mugiriki,” hilo linamaanisha kama alizaliwa Ugiriki?

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

Niliwaza Nilikuwa Ninafurahia Maisha Yangu Kabisa

Pawel Pyzara alikuwa mwenye kupenda jeuri, dawa za kulewesha, na kazi ya muzuri ya sheria, mambo yote hayo kwa wakati uleule. Maisha yake yalibadilika wakati alianza kupigana na wanaume munane.

TUIGE IMANI YAO

‘Mutoto Wangu Mupendwa na Muaminifu Katika Bwana.’

Nini ilimusaidia kijana Timotheo mwenye alikuwa na haya abadilike na kuwa mwangalizi Mukristo wa muzuri sana?

Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Kama watu waliokufa watafufuliwa, wataishi wapi?

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Armagedoni Ni Nini?

Neno Armagedoni inapatikana mara moya tu, lakini ile vita inazunguziwa mu Maandiko.