Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MUNARA WA MULINZI Na. 1 2017 | Namna ya Kupata Faida Wakati Unasoma Biblia

Unawaza Namna Gani?

Biblia ingali ya maana leo? Biblia yenyewe inasema hivi: “Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida.”2 Timotheo 3:16, 17.

Munara wa Mulinzi huu unaonyesha mifano fulani ya hekima yenye kuwa katika Biblia na namna unaweza kufanya ili upate faida wakati unasoma Biblia.

 

HABARI KUBWA

Sababu Gani Usome Biblia?

Namna gani kusoma Biblia kumeletea mamilioni ya watu faida?

HABARI KUBWA

Namna Gani Ninaweza Kuanza Kusoma Biblia?

Mambo tano yanaweza kufanya ikuwe mwepesi kusoma Biblia na kufurahia zaidi usomaji.

HABARI KUBWA

Unaweza Kufanya Nini ili Ufurahie Kusoma Biblia?

Tafsiri, teknolojia, vifaa, na mambo mbalimbali yenye yanaweza kufanya ufurahie kusoma Biblia.

HABARI KUBWA

Namna Gani Biblia Inaweza Kufanya Maisha Yangu Yakuwe Muzuri Zaidi?

Kitabu hiki cha zamani kiko na mashauri mazuri sana.

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

Sikupenda Kufa!

Yvonne Quarrie alijiuliza siku moja, “Sababu gani niko duniani?” Jibu la ulizo hilo lilibadilisha maisha yake.

TUIGE IMANI YAO

‘Alimupendeza Mungu Vema’

Ikiwa unahangaikia mahitaji ya familia ao unapigana vita ya kushikamana na yenye kuwa sawa, imani ya Enoko inaweza kukusaidia sana.

Ni Tatizo Ndogo Tu la Kukosa Kuelewa?

Ujumbe wa Biblia uko wa lazima sana. Ndiyo sababu ni lazima kuulewa. Namna gani unaweza kuuelewa?

Biblia Inasema Nini?

Biblia haifunue tu sababu zenye kuleta mateso, lakini inafunua pia namna mateso yataisha.